MANENO ALIYO SEMA MAGUFURI BAADA YA KUPOKE NDEGE
july 8.2018 ndege mpya ya serikali aina ya Boeing 7878 Dreamliner kwa mara kwanza imetua katika uwanja wa kimataifa wa julius nyelele na kupokelewa na rais magufuri na katika hutuba hiyo leo july 8.2018
Jambo la kwanza
ni kauli aliyo sema rais magufuli na nukuu nina tumaini watanzania wamefulahi kwa ujio wa ndege yetu kama wapo ambao hawajafulahi basi wata pata tabu sanaa alisema magufuli
Jambo la pili
tunataka balozi wa malekani atufikishe salama boeing kuwa ile dreamliner ya pili waikamilishe haraka hera tunazo
Jambo la tatu
ni msisito wa kulipa kodi ndege hizi ni matokeo ya watanzania kuliapa kodi na kikamilifu ndege zote hizi tumenunua kwa fedha zetu wenyewe hatuja kopa kwa mtu
Jambo la nne
ni kufufua shilika la ATCL tumefufua ATCL kulejesha heshima ya nnchi ilikua aibu kutokua na ndege kwa nnchi kubwa kama Tanzania yenye sifa mbalimbali
Jambo la tatu
ni msisito wa kulipa kodi ndege hizi ni matokeo ya watanzania kuliapa kodi na kikamilifu ndege zote hizi tumenunua kwa fedha zetu wenyewe hatuja kopa kwa mtu
Jambo la nne
ni kufufua shilika la ATCL tumefufua ATCL kulejesha heshima ya nnchi ilikua aibu kutokua na ndege kwa nnchi kubwa kama Tanzania yenye sifa mbalimbali
Jambo la tano
ni kuongeza mapato tumeleta ndege hizi pia ziimalishe na kuongeza mapato yetu ya ya utalii nnchini 70% (asilimia70 ) ya watalii wanatumia ndege
Jambo la sita na la mwisho
tumebana mianya yote na tunahakikisha kira hera inayopatikana inatumika kwa masilahi ya watanzania tanzania yenye sifa tanzania yenye mema inakuja tumefanikiwa kwa hili tutafanikiwa na mengine
Raisi MAGUFURI
ni kuongeza mapato tumeleta ndege hizi pia ziimalishe na kuongeza mapato yetu ya ya utalii nnchini 70% (asilimia70 ) ya watalii wanatumia ndege
Jambo la sita na la mwisho
tumebana mianya yote na tunahakikisha kira hera inayopatikana inatumika kwa masilahi ya watanzania tanzania yenye sifa tanzania yenye mema inakuja tumefanikiwa kwa hili tutafanikiwa na mengine
Raisi MAGUFURI
Post a Comment