BELLE9 DOGO JANJA KAKULIA UMASAINI


baada ya belle9 kuulizwa kwa sasa Msani gani kwa upande wake awali alikua akifanya vizuri ira kwa sasa anacho kifanya kama vile hukielewi kama ilivo awali belle9 akasema ni madee madee alivo tafutwa kuhusu huo mtazamo alionao belle9 madee alikataa  kuzungumuzia hilo swala baada ya hapo alitafutwa mwanae dogo janja kuhusi huyo mtazamo alionao belle9 juu ya baba yake mlezi madee dogo janjaa alisema belle9 hana adabu inatakiwa achapwe viboko bomani nikisema kuchapwa viboko bomani watu wa arusha washa elewa inamanisha nini yani achapwe viboko hazarani mbele ya uma maana madee kafanya vitu vingi sana kimuziki na vingine vingi ambavo belle9 hajafanya .Baada ya kauli hiyo ya dogo janja belle9 tena alitoa kauli ya kumukosoa dogo janja kuwa hakuwa alimanisha kwamba vile alivo waza kuwa ndivo alivo mchukulia na kuhusu na kuchapwa viboko bomani ni mtazamo wake dogo janja na yupo sawa kusema hivo maana kakulia katika mazingira hayo

No comments